What's New Here?

Have you ever planned to have your own/ company website? this is the time to have it and market your product and services. for just Tsh. 6,000/- only you can own a website with variety of domain names such as .com, .ac.tz, .net, .org and many more just call

0719-053466/ 0756-251950

If you host with us then we will design your website for free!

FREE WEBSITE DESIGNING WHEN YOU HOST WITH US

Have you ever planned to have your own/ company website? this is the time to have it and market your product and services. for just Tsh. 6,000/- only you can own a website with variety of domain names such as .com, .ac.tz, .net, .org and many more just call

0719-053466/ 0756-251950

If you host with us then we will design your website for free!



How to be a Good Wife to your Husband - 12 Qualities a Man looks for in his Woman
Every married man wishes to have a good wife. Many people advise the new bride to be a good wife to her husband. But what are the makings of a good or perfect wife? Many of women do not know about it. Most of these qualities of a good wife are already inbuilt in a woman and the rest can be developed.
How to be a Good Wife? Keeping the Man Happy
I am a film believer of ‘what you give is what you get in return’ as far as human behavior is concerned. If you are a good wife to your Husband and treat him right, he would cherish you, love you and nurture you in return. Want to know how to keep your Husband happy? Here are some of the Qualities a man looks in his wife.
  1. Be pleasant: It is said that 'we need to treat others the way we want ourselves to be treated’. Never be rude to our husband, family and friends. Be warm, kind, positive, understanding and friendly. Work to be pleasant toward your husband. Don’t be one of those people who make everyone around feel bad just because they have had a hard day. Welcome your husband with a smile when he comes home instead of a sour face. A good wife honors her hubby by keeping a pleasant tone in her voice, a happy smile on her face and a neat and clean appearance. Listen to him talk about his day especially if it was a difficult one. If you don't like how you partner treats you, take a minute to notice how you treat your partner and correct your behavior.
  2. Treat your Husband with Respect: If you expect respect from others we need to treat others with respect too. Haven’t we all heard ‘Give respect and take respect’? Respect can be reflected in the way one talks and behaves. Always speak in a loving way and refrain from speaking in a harsh manner. A good wife respects her hubby and she never chooses to belittle strike, humiliate or otherwise harm him in private nor in public. It is better to watch what you say and think before speaking as it is not possible to take back the words once they are said. A good wife will treat her man with respect in front of others and at home.
  3. Communicate: Communication is the key to a good and solid marriage. Do not hide things from your husband or keep secrets after marriage. Be honest to him. Find time to sit and talk with your husband on a daily basis even if it is for only half an hour. If you let things bottle up and feel that you cannot share with your husband anything then your marriage is in trouble. Be a good listener when your husband is talking. You may have a dozen important things to tell him but allow him to talk first. Don't greet him with complaints and problems the moment he comes back from work. Good Communication also helps to build trust and strengthen your relationship. After marriage the wife and husband are a team or partners. Do not take any major decisions about the family without consulting with husband. Fights or problems may happen in between the two but do not let the world know about it rather solve it between yourselves. The fight you had last week over shopping or whatever is over and done with. So move on with it and stop rehashing old stuff and reminding him of his faults. Do not resort to name calling, hitting, spitting, breaking dishes or anything else when you lose your temper. If you do he may actually start to fall out of love with you and you could lose him all together.
  4. Be Supportive: A husband expects wife’s support and understanding especially in times of troubles. A good wife loves her hubby through his successes and failures and provides reassurance when he's feeling down. She is a nurturer and an equal partner in the marriage. Support your husband in all stages of his career and life. Do not belittle your man or hurt his ego. It is often heard saying that ‘a wife can make a man or break a man’. There’s no quicker way to build resentment in your man than to criticize him or belittle him especially in front of others. Be proud of him on his accomplishments and genuinely complement him. If you do this you can expect your husband to behave with you in the same manner and also respect you more for your support and thoughtfulness. When you don’t agree with him respectfully let him know you don’t agree.
  5. Do not nag: No man would like a nagging wife. If you want to get your own way ask him nicely. Many wives think that is the only way to get her husband to do things is by nagging. But the truth is that your nagging can create unwanted rift or can make things worse between the two of you. Your husband is a grown man with his own thoughts and desires. Just because you think he should be doing something particular doesn't mean he has to do it.
  6. Give him his space: As a wife you need to understand that your husband has a life other than you also. He has his family, friends and colleagues who too are part of his life. He also may have some hobbies or passions he is involved in. Don’t expect his undivided attention. Don’t stop him if he wants to go out and hang out with his friends sometimes or engage in a hobby or sport that he likes. An interfering wife can sometimes be too irritating.
  7. Keep him happy in Bed: Sexual intimacy is one of the most essential things in any marriage. When you please your man, he would be obliged to please you too. Please your man in bed. If you cannot keep your man happy in Bed he may go where he can get it. After all, a Man is a man! According to research, the major reason why men cheat is mostly physical whereas for a woman it is emotional.
  8. Plan Surprises: Men like surprises too. It can be anything like organizing his birthday party without him knowing about it or planning a special night of passion by playing a seductress. Your surprises do not have to be elaborate and can be as simple as making him his favorite snack or any of his favorite dishes once in a while even if you would rather eat something else.
  9. Express your love and appreciation often: Men likes praises and appreciation. Make the best of your time together. Men like to hear the words ‘I love you’ too. Also join him in activities that he's interested in even though you would have preferred to do something else. Give him a thoughtful gift once in a while. Make it a point never to forget the special days in his life. Pamper him very often, especially when he is at home. You can even cook for him or give him a good massage. Making him dependent on you by doing his chores when he is at home is not a bad idea. Let him miss you and think about you when you are not around. These gestures won’t go unnoticed and it may even inspire him to do something nice for you. Don't withhold affection.
  10. Honesty, Loyalty and Dedication: A good wife would be honest, loyal and dedicated to her husband. Marriage is a lifelong commitment and the vows you have taken at the time of marriage should be kept in all conditions.
  11. Prepare yourself: A good wife honors her hubby by keeping a pleasant tone in her voice, a happy smile on her face and a neat and clean appearance. Take special care about your appearance and every day. Include exercises or yoga in your daily routine. Be hygienic. Some woman feel that once they are married why they should dress up or take care of their appearance. A man likes his wife to smell good. If you are unhealthy or not presentable your man may cheat you behind your back.
  12. Prepare the House: Maintain a clean house all the time. Clear away the clutter and spend time decorating the house. Apart from this be wise with money and take all the responsibilities of a wife seriously without complaining.
I am sure any man would be happy to get a good wife with all the above said qualities. Anyways, I have some advice for Men who were overjoyed seeing this Hub. Marriage is a two sided relationship and you have to play your role too in a perfect manner if you expect your wife to be an ideal one.

Sponsored by:

HOW TO BE A GOOD WIFE TO YOUR HUSBAND



How to be a Good Wife to your Husband - 12 Qualities a Man looks for in his Woman
Every married man wishes to have a good wife. Many people advise the new bride to be a good wife to her husband. But what are the makings of a good or perfect wife? Many of women do not know about it. Most of these qualities of a good wife are already inbuilt in a woman and the rest can be developed.
How to be a Good Wife? Keeping the Man Happy
I am a film believer of ‘what you give is what you get in return’ as far as human behavior is concerned. If you are a good wife to your Husband and treat him right, he would cherish you, love you and nurture you in return. Want to know how to keep your Husband happy? Here are some of the Qualities a man looks in his wife.
  1. Be pleasant: It is said that 'we need to treat others the way we want ourselves to be treated’. Never be rude to our husband, family and friends. Be warm, kind, positive, understanding and friendly. Work to be pleasant toward your husband. Don’t be one of those people who make everyone around feel bad just because they have had a hard day. Welcome your husband with a smile when he comes home instead of a sour face. A good wife honors her hubby by keeping a pleasant tone in her voice, a happy smile on her face and a neat and clean appearance. Listen to him talk about his day especially if it was a difficult one. If you don't like how you partner treats you, take a minute to notice how you treat your partner and correct your behavior.
  2. Treat your Husband with Respect: If you expect respect from others we need to treat others with respect too. Haven’t we all heard ‘Give respect and take respect’? Respect can be reflected in the way one talks and behaves. Always speak in a loving way and refrain from speaking in a harsh manner. A good wife respects her hubby and she never chooses to belittle strike, humiliate or otherwise harm him in private nor in public. It is better to watch what you say and think before speaking as it is not possible to take back the words once they are said. A good wife will treat her man with respect in front of others and at home.
  3. Communicate: Communication is the key to a good and solid marriage. Do not hide things from your husband or keep secrets after marriage. Be honest to him. Find time to sit and talk with your husband on a daily basis even if it is for only half an hour. If you let things bottle up and feel that you cannot share with your husband anything then your marriage is in trouble. Be a good listener when your husband is talking. You may have a dozen important things to tell him but allow him to talk first. Don't greet him with complaints and problems the moment he comes back from work. Good Communication also helps to build trust and strengthen your relationship. After marriage the wife and husband are a team or partners. Do not take any major decisions about the family without consulting with husband. Fights or problems may happen in between the two but do not let the world know about it rather solve it between yourselves. The fight you had last week over shopping or whatever is over and done with. So move on with it and stop rehashing old stuff and reminding him of his faults. Do not resort to name calling, hitting, spitting, breaking dishes or anything else when you lose your temper. If you do he may actually start to fall out of love with you and you could lose him all together.
  4. Be Supportive: A husband expects wife’s support and understanding especially in times of troubles. A good wife loves her hubby through his successes and failures and provides reassurance when he's feeling down. She is a nurturer and an equal partner in the marriage. Support your husband in all stages of his career and life. Do not belittle your man or hurt his ego. It is often heard saying that ‘a wife can make a man or break a man’. There’s no quicker way to build resentment in your man than to criticize him or belittle him especially in front of others. Be proud of him on his accomplishments and genuinely complement him. If you do this you can expect your husband to behave with you in the same manner and also respect you more for your support and thoughtfulness. When you don’t agree with him respectfully let him know you don’t agree.
  5. Do not nag: No man would like a nagging wife. If you want to get your own way ask him nicely. Many wives think that is the only way to get her husband to do things is by nagging. But the truth is that your nagging can create unwanted rift or can make things worse between the two of you. Your husband is a grown man with his own thoughts and desires. Just because you think he should be doing something particular doesn't mean he has to do it.
  6. Give him his space: As a wife you need to understand that your husband has a life other than you also. He has his family, friends and colleagues who too are part of his life. He also may have some hobbies or passions he is involved in. Don’t expect his undivided attention. Don’t stop him if he wants to go out and hang out with his friends sometimes or engage in a hobby or sport that he likes. An interfering wife can sometimes be too irritating.
  7. Keep him happy in Bed: Sexual intimacy is one of the most essential things in any marriage. When you please your man, he would be obliged to please you too. Please your man in bed. If you cannot keep your man happy in Bed he may go where he can get it. After all, a Man is a man! According to research, the major reason why men cheat is mostly physical whereas for a woman it is emotional.
  8. Plan Surprises: Men like surprises too. It can be anything like organizing his birthday party without him knowing about it or planning a special night of passion by playing a seductress. Your surprises do not have to be elaborate and can be as simple as making him his favorite snack or any of his favorite dishes once in a while even if you would rather eat something else.
  9. Express your love and appreciation often: Men likes praises and appreciation. Make the best of your time together. Men like to hear the words ‘I love you’ too. Also join him in activities that he's interested in even though you would have preferred to do something else. Give him a thoughtful gift once in a while. Make it a point never to forget the special days in his life. Pamper him very often, especially when he is at home. You can even cook for him or give him a good massage. Making him dependent on you by doing his chores when he is at home is not a bad idea. Let him miss you and think about you when you are not around. These gestures won’t go unnoticed and it may even inspire him to do something nice for you. Don't withhold affection.
  10. Honesty, Loyalty and Dedication: A good wife would be honest, loyal and dedicated to her husband. Marriage is a lifelong commitment and the vows you have taken at the time of marriage should be kept in all conditions.
  11. Prepare yourself: A good wife honors her hubby by keeping a pleasant tone in her voice, a happy smile on her face and a neat and clean appearance. Take special care about your appearance and every day. Include exercises or yoga in your daily routine. Be hygienic. Some woman feel that once they are married why they should dress up or take care of their appearance. A man likes his wife to smell good. If you are unhealthy or not presentable your man may cheat you behind your back.
  12. Prepare the House: Maintain a clean house all the time. Clear away the clutter and spend time decorating the house. Apart from this be wise with money and take all the responsibilities of a wife seriously without complaining.
I am sure any man would be happy to get a good wife with all the above said qualities. Anyways, I have some advice for Men who were overjoyed seeing this Hub. Marriage is a two sided relationship and you have to play your role too in a perfect manner if you expect your wife to be an ideal one.

Sponsored by:

Sasa kuna picha ambayo imezua mjadala mkali kuhusu ikiwa ilipaswa kutumiKa kuwavutia vijana kwenda kanisani AU LA. 

Picha hii ilitolewa kama bango la kutangaza kongamano la vijana la kanisa litakalofanyika baadaye mwezi ujao. 

Nini maoni yako kuihusu picha hii kama ni sawa itumiwe na kanisa kuwavutia vijana kwenda kanisani na pia kuhudhuria kongamano hilo AU LA?

PICHA YA KANISA KUWAVUTIA VIJANA KUHUDHURIA KONAGAMANO KANISANI LAZUA MJADALA MKALI KENYA

Sasa kuna picha ambayo imezua mjadala mkali kuhusu ikiwa ilipaswa kutumiKa kuwavutia vijana kwenda kanisani AU LA. 

Picha hii ilitolewa kama bango la kutangaza kongamano la vijana la kanisa litakalofanyika baadaye mwezi ujao. 

Nini maoni yako kuihusu picha hii kama ni sawa itumiwe na kanisa kuwavutia vijana kwenda kanisani na pia kuhudhuria kongamano hilo AU LA?


Wasanii wa iva youth group wakijiandaa kurekodi 
 Wasanii wa iva youth group wakijiandaa kurekodi 

 Wasanii wa iva youth group wakijiandaa kurekodi 
Wasanii wa iva youth group wakijiandaa kurekodi

Kikundi cha sanaa kijulikanacho kwa jina la IVA YOUTH GROUP kilichoko wilaya ya Ludewa katika mkoa wa Njombe kimeanza kutengeneza Filamu yao ambayo inamahadhi ya wilaya ya Ludewa ikiwa ni Filamu ya kwanza tokea wilaya hiyo innzishwe.

Akiongea na wanahabari wakati wa kurekodi Filamu hiyo katibu wa kikunchi hicho Bw.Leonard Lukuwi alisema IVA YOUTH GROUP ni kikundi pekee kilichosajiriwa na baraza la sanaa la Taifa(BASATA) kunafanya kazi mbalimbali za uelimishaji wa jamii katika wilaya ya Ludewa na knapatikana Ludewa mjini

Bw.Lukuwi alisema kuwa kikundi hicho kimekusanya wasanii mbalimbali katika kata na vijiji vya wilaya ya Ludewa na kufikia wasanii 30 ambao wanafanya sanaa mbalimbali na mpaka sasa wanaandaa Filamu ya kwanza ambayo itawatambulisha wanaludewa na tamaduni zao.

Alisema kuwa wilaya ya Ludewa inawasanii wenye vipaji vikubwa lakini wamesahaulika kutokana na kukosa wadau ambao wangeweza kuwaibua na kuitangaza wilaya yao katika Taifa na mataifa mengine ambayo yanafuatilia sanaa za Tanzania.

“vipaji vipo Ludewa ila kinachokosekana na ufadhiri kwani mpaka sasa kikundi cha IVA hakina mfadhiri na hakija wahi kupata ufadhiri wa aina yoyote licha ya kuwa ni kikundi kikongwe kilianzishwa mwaka 2008 lakini kimekuwa kikitumiwa na mashirika katika kuielimisha jamii katika mambo mbalimbali na sasa tumeamua kutengeneza filamu hii kwa kujichangisha wasanii wenyewe ili tuweze kuinua uchumi wetu ndani ya kundi”,alisema Bw.Lukuwi.

Filamu hiyo inayotarajiwa kuzinduliwa mwezi juni mwaka huu ikiwa na wasasii chipukizi ambao kwa mara ya kwanza wataanza kuonekana katika ulimwengu wa Filamu nchini hivyo amewaomba wadau mbalimbali kutoa michango kwa njia ya mpesa katika namba 0752 206242 ili kufanikisha filamu hiyo.

IVA YOUTH GROUP LUDEWA WAANZA KUTENGENEZA FILAMU


Wasanii wa iva youth group wakijiandaa kurekodi 
 Wasanii wa iva youth group wakijiandaa kurekodi 

 Wasanii wa iva youth group wakijiandaa kurekodi 
Wasanii wa iva youth group wakijiandaa kurekodi

Kikundi cha sanaa kijulikanacho kwa jina la IVA YOUTH GROUP kilichoko wilaya ya Ludewa katika mkoa wa Njombe kimeanza kutengeneza Filamu yao ambayo inamahadhi ya wilaya ya Ludewa ikiwa ni Filamu ya kwanza tokea wilaya hiyo innzishwe.

Akiongea na wanahabari wakati wa kurekodi Filamu hiyo katibu wa kikunchi hicho Bw.Leonard Lukuwi alisema IVA YOUTH GROUP ni kikundi pekee kilichosajiriwa na baraza la sanaa la Taifa(BASATA) kunafanya kazi mbalimbali za uelimishaji wa jamii katika wilaya ya Ludewa na knapatikana Ludewa mjini

Bw.Lukuwi alisema kuwa kikundi hicho kimekusanya wasanii mbalimbali katika kata na vijiji vya wilaya ya Ludewa na kufikia wasanii 30 ambao wanafanya sanaa mbalimbali na mpaka sasa wanaandaa Filamu ya kwanza ambayo itawatambulisha wanaludewa na tamaduni zao.

Alisema kuwa wilaya ya Ludewa inawasanii wenye vipaji vikubwa lakini wamesahaulika kutokana na kukosa wadau ambao wangeweza kuwaibua na kuitangaza wilaya yao katika Taifa na mataifa mengine ambayo yanafuatilia sanaa za Tanzania.

“vipaji vipo Ludewa ila kinachokosekana na ufadhiri kwani mpaka sasa kikundi cha IVA hakina mfadhiri na hakija wahi kupata ufadhiri wa aina yoyote licha ya kuwa ni kikundi kikongwe kilianzishwa mwaka 2008 lakini kimekuwa kikitumiwa na mashirika katika kuielimisha jamii katika mambo mbalimbali na sasa tumeamua kutengeneza filamu hii kwa kujichangisha wasanii wenyewe ili tuweze kuinua uchumi wetu ndani ya kundi”,alisema Bw.Lukuwi.

Filamu hiyo inayotarajiwa kuzinduliwa mwezi juni mwaka huu ikiwa na wasasii chipukizi ambao kwa mara ya kwanza wataanza kuonekana katika ulimwengu wa Filamu nchini hivyo amewaomba wadau mbalimbali kutoa michango kwa njia ya mpesa katika namba 0752 206242 ili kufanikisha filamu hiyo.


Filikunjombe akizindua rasmi ujenzi wa barabara ya Mawengi kwenda Makonde



mtambo ukiwa kazini


Filikunjombe akikagua barabara mpya ya Mawengi Makonde

Filikunjombe akiwa amechoka kutembea kutoka kata ya Mawengi kuelekea kata ya Makonde,nyuma yake ni katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM mkoa wa Njombe Bw.Onoratus Mgaya
 Hii ndiyi barabra inayotoka kata ya Mawengi kuelekea kata ya Makonde

Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Ludewa Bw.Willium Waziri akiongea na wananchi

 Filikunjombe akiongea na wananchi wa kata za Makonde,Lifuma na Mawengi mara baada ya uzinduzi

Ujenzi wa barabara ya kijiji cha Mawengi kwenda kata za Makonde na Lifuma  mwambao wa ziwa Nyasa wilayani Ludewa katika mkoa wa Njombe kwa kiwango cha changalawe umezinduliwa rasmi jana na mbunge wa jimbo la Ludewa Mh.Deo Filikunjombe

Akizindua ujenzi wa barabara hiyo inayofadhiriwa na ubalozi wa Japani Filikunjombe alisema kwa miaka mingi wananchi wa kata za mwambao wa ziwa Nyasa wamekuwa wakitumia usafiri wa majini katika shughuri zao mbalimbali lakini Serikali ya chama cha mapinduzi imekisikia kilio cha watu wa mwambao hivyo imeona ni bora kutoboa barabara inayofuka katika kata hizo ili kurahisisha maisha ya wananchi.

Filikunjombe alisema kuwa wananchi wa mwambao wa ziwa nyasa wamekuwa wakipata mahitaji yao kupitia wilaya jirani ya Kyela kutokana na kutokuwa na barabra ya gari inayoweza kuwafikisha katika makao makuu ya wilaya yao hivyo ujenzi wa barabara hiyo ni ukombozi mkubwa kwa wananchi wa kata za Makonde na Lifuma.

Hata hivyo aliwataka wakandarasi wa mradi huo wa barabara kuwa waaminifu na kufanya kazi kwa umakini mkubwa kwani kumekuwa na tabia ya baadhi ya wananchi na wakandarasi kutokuwa waaminifu kwa kuiba vipuli na mafuta ya mitambo hali ambayo inarudisha maendeleo nyuma. 

Filikunjombe alisema imekuwa ni tabia mbaya inayoendelea kuzoeleka nchini ya wizi wa mafuta wakati Serikali imepanga bajeti ya kutosha katika matengenezo ya barabara mbalimbali lakini baadhi ya watu hutumia miradi hiyo kujinufaisha kwa kuiba vipuli na mafuta hivyo atakayebainika katika ujenzi wa barabara zote wilayani Ludewa Sheria itachukua mkoando wake.

“Leo tunazindua ujenzi wa barabara ya Mawengi kwenda Makonde ni barabara ambayo inaumuhimu mkubwa kwa wananchi wa mwambao lakini wako watu wanafikiria kuiba mafuta ya mitambo na vipuli,nawaomba tabia hiyo ikome mara moja kwani serikali imeona ilifanye hili ili kuwaletea maendeleo wananchi wa maeneo haya hivyo nalioamna jeshi la polisi yeyote atakayebainika akamatwe na afikishwe mbele ya sheria lakini nawaomba wananchi kuwa walinzi wa miradi yenu ili ikamilike haraka”,alisema Filikunjombe.

Barabara hiyo ambayo itaziunganisha kata tatu na vijiji vingi vya mwambao wa Ziwa Nyasa inakuwa msaada mkubwa kwa wakazi wa maeneo hayo kutokana na wananchi wengi kuwa na shauku ya kufanya biashara ya samaki kwa kiasi kikubwa tofauti na awali walikuwa wakibeba samaki kwa kichwa na kutembea umbali kwa kilomita 34 hadi mawengi kwaajili ya kuziuza na kujipatia kipato.

Aidha Bw.Erasto Magombola mkazi wa kijiji cha mawengi alisifu Serikali kwa kuiangalia barabara hiyo kutokana na wananchi wa maeneo ya mwambao kusafirisha wagonjwa hadi kijiji cha mawengi kwa kuwabeba katika mchela hivyo barabara hiyo ni ukombozi mkubwa kwao.

Bw.Magombola alisema kuwa kutokana na ujenzi wa barabara baadhi ya wafanya biashara wa sanmaki na maharage watapata fulsa ya kufanya biashara hiyo kwa urahisi kwani samaki wa ziwa Nyasa wamekuwa wakiuzwa zaidi wilaya ya Kyela wakati wavuvi wako wilaya ya Ludewa haya yote yalisababishwa na ubovu wa barabara.

Kuhusu wizi wa mafuta Bw.Mgombola alisema kuwa yeye kama mwananchi na muhasibu wa kijiji cha Mawengi atashirikiana na uongozi wa kijiji na kata kuwazibiti wezi hapo na hawatawafumbia macho mafanyakazi wa mradi huo ambao watakwenda kinyume na maadili ya kazi zao.

UJENZI WA BARABARA YA MAKONDE,MAWENGI WILAYANI LUDEWA WAZINDULIWA RASMI


Filikunjombe akizindua rasmi ujenzi wa barabara ya Mawengi kwenda Makonde



mtambo ukiwa kazini


Filikunjombe akikagua barabara mpya ya Mawengi Makonde

Filikunjombe akiwa amechoka kutembea kutoka kata ya Mawengi kuelekea kata ya Makonde,nyuma yake ni katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM mkoa wa Njombe Bw.Onoratus Mgaya
 Hii ndiyi barabra inayotoka kata ya Mawengi kuelekea kata ya Makonde

Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Ludewa Bw.Willium Waziri akiongea na wananchi

 Filikunjombe akiongea na wananchi wa kata za Makonde,Lifuma na Mawengi mara baada ya uzinduzi

Ujenzi wa barabara ya kijiji cha Mawengi kwenda kata za Makonde na Lifuma  mwambao wa ziwa Nyasa wilayani Ludewa katika mkoa wa Njombe kwa kiwango cha changalawe umezinduliwa rasmi jana na mbunge wa jimbo la Ludewa Mh.Deo Filikunjombe

Akizindua ujenzi wa barabara hiyo inayofadhiriwa na ubalozi wa Japani Filikunjombe alisema kwa miaka mingi wananchi wa kata za mwambao wa ziwa Nyasa wamekuwa wakitumia usafiri wa majini katika shughuri zao mbalimbali lakini Serikali ya chama cha mapinduzi imekisikia kilio cha watu wa mwambao hivyo imeona ni bora kutoboa barabara inayofuka katika kata hizo ili kurahisisha maisha ya wananchi.

Filikunjombe alisema kuwa wananchi wa mwambao wa ziwa nyasa wamekuwa wakipata mahitaji yao kupitia wilaya jirani ya Kyela kutokana na kutokuwa na barabra ya gari inayoweza kuwafikisha katika makao makuu ya wilaya yao hivyo ujenzi wa barabara hiyo ni ukombozi mkubwa kwa wananchi wa kata za Makonde na Lifuma.

Hata hivyo aliwataka wakandarasi wa mradi huo wa barabara kuwa waaminifu na kufanya kazi kwa umakini mkubwa kwani kumekuwa na tabia ya baadhi ya wananchi na wakandarasi kutokuwa waaminifu kwa kuiba vipuli na mafuta ya mitambo hali ambayo inarudisha maendeleo nyuma. 

Filikunjombe alisema imekuwa ni tabia mbaya inayoendelea kuzoeleka nchini ya wizi wa mafuta wakati Serikali imepanga bajeti ya kutosha katika matengenezo ya barabara mbalimbali lakini baadhi ya watu hutumia miradi hiyo kujinufaisha kwa kuiba vipuli na mafuta hivyo atakayebainika katika ujenzi wa barabara zote wilayani Ludewa Sheria itachukua mkoando wake.

“Leo tunazindua ujenzi wa barabara ya Mawengi kwenda Makonde ni barabara ambayo inaumuhimu mkubwa kwa wananchi wa mwambao lakini wako watu wanafikiria kuiba mafuta ya mitambo na vipuli,nawaomba tabia hiyo ikome mara moja kwani serikali imeona ilifanye hili ili kuwaletea maendeleo wananchi wa maeneo haya hivyo nalioamna jeshi la polisi yeyote atakayebainika akamatwe na afikishwe mbele ya sheria lakini nawaomba wananchi kuwa walinzi wa miradi yenu ili ikamilike haraka”,alisema Filikunjombe.

Barabara hiyo ambayo itaziunganisha kata tatu na vijiji vingi vya mwambao wa Ziwa Nyasa inakuwa msaada mkubwa kwa wakazi wa maeneo hayo kutokana na wananchi wengi kuwa na shauku ya kufanya biashara ya samaki kwa kiasi kikubwa tofauti na awali walikuwa wakibeba samaki kwa kichwa na kutembea umbali kwa kilomita 34 hadi mawengi kwaajili ya kuziuza na kujipatia kipato.

Aidha Bw.Erasto Magombola mkazi wa kijiji cha mawengi alisifu Serikali kwa kuiangalia barabara hiyo kutokana na wananchi wa maeneo ya mwambao kusafirisha wagonjwa hadi kijiji cha mawengi kwa kuwabeba katika mchela hivyo barabara hiyo ni ukombozi mkubwa kwao.

Bw.Magombola alisema kuwa kutokana na ujenzi wa barabara baadhi ya wafanya biashara wa sanmaki na maharage watapata fulsa ya kufanya biashara hiyo kwa urahisi kwani samaki wa ziwa Nyasa wamekuwa wakiuzwa zaidi wilaya ya Kyela wakati wavuvi wako wilaya ya Ludewa haya yote yalisababishwa na ubovu wa barabara.

Kuhusu wizi wa mafuta Bw.Mgombola alisema kuwa yeye kama mwananchi na muhasibu wa kijiji cha Mawengi atashirikiana na uongozi wa kijiji na kata kuwazibiti wezi hapo na hawatawafumbia macho mafanyakazi wa mradi huo ambao watakwenda kinyume na maadili ya kazi zao.

UFAULU WA WANAFUNZI MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2013 KWA KILA DARAJA

UPANGAJI WA VIWANGO VYA ALAMA, MATUMIZI YA ALAMA ENDELEVU YA MWANAFUNZI NA UFAULU

UTANGULIZI
Wizara imekusanya maoni ya Wadau wa Elimu kuhusu Upangaji wa Viwango vya Alama (Grade Ranges) katika Mitihani ya Kuhitimu Kidato cha Nne na cha Sita pamoja na Matumizi ya Alama za Tathmini Endelevu ya Mwanafunzi (Continuous Assessment ama CA) kwa ajili ya kuamua kiwango cha ufaulu wa mwanafunzi. Maoni ya wadau yamekusanywa kwa sababu kwa muda mrefu sasa upangaji wa viwango vya alama vinavyotumika na utaratibu wake katika mitihani ya kuhitimu Kidato cha Nne na Kidato cha Sita umekuwa haufanani pamoja na kwamba mitihani hiyo yote ni ya elimu ya sekondari. Pia mfumo masuala mbalimbali ya mitihani katika elimu ya sekondari umekuwa na miundo tofauti ikiwemo ule unaotumika shuleni na ule wa Baraza la Mitihani la Taifa. Kwa sasa kuna miundo mikuu miwili katika mfumo huo.
Muundo wa Kwanza ni upangaji wa viwango katika ngazi ya Shule ambapo Alama Mgando (Fixed Grade Ranges) zifuatazo hutumika kupanga madaraja: A = 81 – 100; B = 61 – 80; C = 41 – 60; D = 21 – 40 na F = 0 – 20. Muundo huu umetumika kwa muda mrefu na umezoeleka kwa walimu na wanafunzi wa elimu ya sekondari kwa ujumla.
Muundo wa Pili ni wa viwango vinavyotumiwa na Baraza la Mitihani la Taifa ambapo ambapo kabla ya mwaka 2012 muundo wa viwango nyumbufu (flexible grade ranges) ulitumika. Katika muundo huu uwigo wa alama ulibadilika badilika kulingana na hali ya matokeo ilivyokuwa kwa mwaka husika. Lakini kuanzia mwaka 2012, Serikali iliamua kutumia mfumo wa Upangaji wa Alama Mgando (Fixed Grade Range) kwa Kidato cha Nne na Kidato cha Sita. Katika mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2012 Baraza lilitumia mfumo huu wa alama mgando ambapo: A = 80 – 100, B = 65 – 79, C = 50 – 64, D = 35 – 49, F = 0 – 34. Kwa upande wa Kidato cha Sita Baraza lilitumia mfumo wa A = 80 – 100; B = 75 - 79; C = 65 – 74; D = 55 – 64; E = 45 – 54; S = 40 – 44 na F = 0 – 39. Mifumo hii ya Baraza haikuwa inafahamika kwa wadau na hivyo kuwa sehemu ya malalamiko katika sekta ya elimu na mafunzo.
Vilevile, Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 1995 imeelekeza kwamba katika kuamua kiwango cha ufaulu wa mwanafunzi wa elimu ya sekondari, Alama za CA zitachangia asilimia hamsini (50%) na Mtihani wa mwisho utachangia asilimia hamsini (50%). Kwa upande wa Zanzibar, CA zimekuwa zikiandaliwa kwa mfumo wa asilimia arobaini (40%) na mtihani wa mwisho asilimia sitini (60%). Pamoja na kwamba Baraza halijawahi kuutumia mifumo hii tangu ilipowekwa, kumekuwa na mitazamo, maoni na mapendekezo tofauti katika muundo na matumizi ya alama za CA. Kuna mawazo pia kwamba mfumo wa CA kuchangia matokeo ya mwisho ya mwanafunzi pia utumike kwa watahiniwa wa kujitegemea (private candidates). Kwa sasa matokeo ya mitihani ya watahiniwa hawa yamekuwa yakitumia alama za mtihani wa mwisho tu na hivyo kutafsiriwa kama utaratibu ambao unamwonea mwanafunzi ambaye anahamu ya kujiendeleza kielimu lakini anakwama kwa sababu mfumo unaotumika siyo rafiki kwa mtahiniwa.
Kwa mantiki hii, Wizara imedhamiria kufanya harmonization ya masuala ya alama katika mitihani ya Kidato cha Nne na Kidato cha Sita ili kupata muundo mmoja na ulio wazi kwa wadau wote wa elimu ya sekondari. Lakini pia serikali imedhamiria kuhakikisha tathmini za wanafunzi katika ngazi mbalimbali zinakwenda sambamba na matarajio ya mitaala inayotumika na ambayo inahuishwa mara kwa mara ili iendane na wakati na mahitaji ya elimu katika ngazi mbalimbali.
VIWANGO NA UTARATIBU KUANZIA MWAKA 2013 KWA KIDATO CHA NNE NA MWAKA
2014 KIDATO CHA SITA
Baada ya kufanya tathmini ya maoni mbalimbali ya wadau, misingi ifuatayo ilizingatiwa katika maamuzi kuhusu makundi ya alama na muachano wake:
a)      Alama zitakazotumika zitakuwa A, B, C, D, E na F. Muachano wa alama kati ya kundi moja hadi jingine utafanana, isipokuwa tu pale ambapo itaonekana kuna sababu na hakuna athari za kuwa na muachano tofauti na ule ambao umetumika katika makundi mengine.
b)      Makundi ya alama hayatakuwa na clusters isipokuwa pale ambapo itaonekana kufanya hivyo kunaleta tija katika kupata picha ya wahitimu kwa ajili ya matumizi mbalimbali. Kwa mantiki hii
(i)         makundi ya alama A, C, D, E na F yabaki na cluster moja moja bali kundi la alama B litakuwa na clusters mbili. Kundi la kwanza litakuwa la wale ambao wamepata alama kati ya 50 mpaka 59 na litaitwa B na lingine litakuwa la wale ambao wamevuka uwigo wa 50 hadi 59 na kuelekea uwigo wa 60 hadi 74 na hili litaitwa B+ (angalia jedwali hapo chini).
(ii)        Pamoja na kuwa na muachano wa alama 26 kama jedwali linavyoonesha hapo chini, alama A kwa miaka mingi imekuwa ikianzia alama 75 hadi 100 na kwamba pamoja na uwigo huo bado wanaofaulu kwa kiwango hicho ni wachache sana. Kwa mantiki hii, hakuna haja ya kubadilisha uwigo ila juhudi ziendelee katika ufundishaji na ujifunzaji ili kiwango cha ufaulu kiongezeke na kupata wanafunzi wengi zaidi wanaofaulu katika kundi hili.
(iii)       Pia, pamoja na kuwa na muachano wa alama 20 kama jedwali linavyoonesha hapo chini kwa miaka mingi, huko shuleni mwanafunzi aliyepata alama 21 na hadi 30 alihesabiwa kuwa na ufaulu wa chini kabisa au hafifu kwa kiwango cha alama na ingawa ilikubalika ufaulu wa aina hiyo kwa mazingira ya nchi yetu unaridhisha. Alama F ilikuwa ni kwa wale waliopata chini ya hapo. Hivyo, alama F itaendelea kuwepo na itaanzia alama 0 hadi 19 na E itaanzia alama 20 hadi 29 na D – 30 -39. Lengo la muundo huu ni kuwa alama mbalimbali, isipokuwa kwa makundi machache, zianzie kwenye 0 yaani 0, 10, 20, 30, 40 na kuendelea badala ya kuanzia kwenye moja yaani 1, 11, 21, 31, 41 na kuendelea. Hii ni kwa ajili ya kuleta mtizamo unaofanana katika ngazi mbalimbali za elimu ambapo kwa sasa ngazi ambazo siyo za elimu msingi na sekondari zinatumia muundo wa kuanzia kwenye 0 badala ya 1. 
c)      Uwigo wa jumla wa alama kwa Kidato cha Nne na Kidato cha Sita utaendelea kuwa wa alama 0 hadi 100 na kila kundi katika uwigo huu limepewa tafsiri kwa ajili ya kuamua mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya mwanafunzi kulingana na malengo ya mtihani husika. Kimsingi, tafsiri zifuatazo zitakatumika
(i)     Alama A itakuwa na maana ya ufaulu uliojipambanua (distincion or outstanding performance),
(ii)        Alama B+ itakuwa na maana ya ufaulu bora sana (excellent performance),
(iii)       Alama B itakuwa na maana ya ufaulu mzuri sana ( very good perfomance),
(iv)       Alama C itakuwa na maana ya ufaulu mzuri (good performance);
(v)        Alama D itakuwa na maana ya ufaulu wa wastani (low performance),
(vi)       Alama E itakuwa na maana ya ufaulu hafifu (very low performance), na
(vii)      Alama F itakuwa na maana ya ufaulu usioridhisha (unsatisfactory performance). 
Wataalamu katika maeneo mbalimbali ya elimu na ulimwengu wa kazi, kwa kushirikiana na Wizara, watatoa maana ya tafsiri hizi kiutendaji katika maeneo yao kulingana pia na mahitaji yao.
d)      Alama C iwe ndiyo alama ya ufaulu mzuri ambao hauhitaji urekebu wa lazima, wakati alamaD na E ni alama za ufaulu unaohitaji urekebu kadri mwanafunzi atakavyokuwa anaendelea na masomo ili kuthibitisha kama mlengwa anaweza na kulingana na mahitaji ya eneo husika (targeted remediation). Alama F iwe alama ya eneo linalohitaji urekebu wa hali ya juu (intesive remediation) ili mwanafunzi huyo aweze kumudu masomo kadri anavyoendelea kukua kielimu ama atakapoingia katika ulimwengu wa kazi.
e)      Makundi ya alama yatajumuisha CA kwa kiwango cha asilimia isiyozidi 40 na mtihani wa mwisho kwa asilimia isiyozidi 60 kwa makundi yote ya watahiniwa ikiwemo wale wa kujitegemea (private candidates). Hii ni kwa kuzingatia kwamba CA siyo vizuri izidi uwigo wa alama ya ufaulu mzuri unapoanzia ambayo ni C au 40.
f)       CA kwa upande wa Kidato cha Nne zitokane na mtihani wa Kidato cha Pili (alama 15), matokeo ya Kidato  cha Tatu (alama 5 kwa kila muhula, na hivyo jumla ya alama 10), mtihani wa Mock (alama 10) na kazi mradi  au Projects (alama 5). Kwa upande wa Kidato cha Sita, CA iendelee kutokana na muundo unaotumika sasa.
g)      CA zitumike pia kwa watahiniwa wa kujitegemea. Kwa upande wa watahiniwa wa kujitegmea ambao wanarudia Mitihani, CA zao  zitumike zile zilizotumika kutoa matokeo yake ya mitihani ya awali.  Kwa watahiniwa wa kujitegemea waliopitia mfumo wa Qualifying Test (QT), matokeo ya QT yatumike kama CA na mtihani wa mwisho uchangie alama 60.
h)      Kwa vile alama endelevu kwa mwaka 2013 kwa wanafunzi wa Kidato cha Nne tayari zimeshawasilishwa Baraza la Mitihani  Tanzania, alama hizo zichangie asilimia 40 katika mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2013.
i)        Muundo wa wastani wa alama katika ufaulu (Grade Points Average ama GPA) utaandaliwa na kuanza kutumika pale utakapokuwa tayari na wadau wataelimishwa kuhusu muundo huo ili wapate kuufahamu na manufaa yake katika elimu ya sekondari.
j)        Muundo huu mpya wa alama utatumika kwa mzunguko wa miaka minne kabla haujahuishwa tena ili kuupa muda wa kutosha kuona aina ya changamoto zinazojitokeza na jinsi ya kuzishughulikia. Aina hii ya muda itaruhusu vidato vinne vya elimu ya sekondari ya kawaida na nane ya elimu ya sekondari ya juu kupimwa. Hata hivyo, uhusihaji wa masuala ya mitihani unaweza ukafanyika iwapo matokeo ya uhuishaji wa mitaala kwa ujumla utahitaji pia eneo la mitihani liguswe na kuhuishwa pia.
Kwa mantiki hii, viwango vya alama na ufaulu ni kama inavyooneshwa kwenye jedwali la 1 hapa chini:
Jedwali Na 1
MUUNDO WA ALAMA NA UFAULU
ALAMA
UWIGO WA ALAMA
IDADI YA ALAMA
TAFSIRI
A
75 - 100
26
Ufauli Uliojipambanua
B+
60 - 74
15
Ufaulu bora sana
B
50- 59
10
Ufaulu mzuri sana
C
40 - 49
10
Ufaulu mzuri
D
30 - 39
10
Ufaulu Hafifu
E
20 - 29
10
Ufaulu hafifu sana
F
0 - 19
20
Ufaulu usioridhisha
Kwa aina hii ya muundo wa alama, na kwa kuwa muundo wa GPA utaanza kuandaliwa na wadau kuelimishwa kabla haujaanza kutumika, katika kipindi hiki mpaka wakati huo, muundo wa madaraja utakuwa kama inavyooneshwa kwenye jedwali la 2 hapa chini.
Jedwali Na 2
MUUNDO WA MADARAJA
MUUNDO WA ZAMANI
MUUNDO MPYA
MAELEZO
POINTI
DARAJA
POINTI
DARAJA
7-17
1
7-17
I
Kundi la ufaulu uliojipambanua na bora sana
18-21
II
18-24
II
Kundi la ufaulu mzuri sana
22-25
III
25-31
III
Kundi la ufaulu mzuri na wa wastani
26-33
IV
32-47
IV
Kundi ufaulu hafifu
34-35
0
48-49
V
Kundi la ufaulu usioridhisha

Wataalamu wa mifumo ya mitihani watalifanyia kazi zaidi jedwali hili la madaraja ili liweze kutumika kwa ufanisi katika kipindi hiki cha mpito.
Kwa mantiki hii, Daraja Sifuri linafutwa na kuwekwa daraja litakalojulikana kama Daraja la Tano na ambalo litakuwa ndilo la mwisho kabisa katika ufaulu.
HITIMISHO
Mabadiliko haya yamefanyika ili kuendelea kuimarisha mfumo wetu wa elimu na kuweka wazi taratibu mbalimbali kwa ajili ya mitihani na masuala mengine. Yako mambo mengi mengine ambayo hayana budi kuendelea kuimarishwa ikiwemo mfumo wa mitaala, walimu, mazingira ya kujifunzia na kufundishia pamoja na vitabu na vifaa vingine muhimu katika elimu. Masuala haya yanaendelea kuangaliwa kupitia mikakati mbalimbali ikiwemo mpango wa Matokeo Makubwa Sasa ama Big Results Now (BRN). Ushirikiano wa wadau wote ili kuleta tija kwenye elimu ni muhimu sana na hivyo wizara itaendelea kuwashirikisha wadau wote kwa kadri itakavyohitajika na wadau pia wanaombwa wasiache kuishirikisha wizara pale watakapokuwa na jambo lolote ambalo linahitaji ushirikiano ili kwa pamoja tuweze kupata mafanikio katika sekta ya elimu.
Imetolewa,
KATIBU MKUU
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI

VIWANGO VIPYA VYA ALAMA ZA UFAULU KWA ELIMU YA SEKONDARI HIVI HAPA

UPANGAJI WA VIWANGO VYA ALAMA, MATUMIZI YA ALAMA ENDELEVU YA MWANAFUNZI NA UFAULU

UTANGULIZI
Wizara imekusanya maoni ya Wadau wa Elimu kuhusu Upangaji wa Viwango vya Alama (Grade Ranges) katika Mitihani ya Kuhitimu Kidato cha Nne na cha Sita pamoja na Matumizi ya Alama za Tathmini Endelevu ya Mwanafunzi (Continuous Assessment ama CA) kwa ajili ya kuamua kiwango cha ufaulu wa mwanafunzi. Maoni ya wadau yamekusanywa kwa sababu kwa muda mrefu sasa upangaji wa viwango vya alama vinavyotumika na utaratibu wake katika mitihani ya kuhitimu Kidato cha Nne na Kidato cha Sita umekuwa haufanani pamoja na kwamba mitihani hiyo yote ni ya elimu ya sekondari. Pia mfumo masuala mbalimbali ya mitihani katika elimu ya sekondari umekuwa na miundo tofauti ikiwemo ule unaotumika shuleni na ule wa Baraza la Mitihani la Taifa. Kwa sasa kuna miundo mikuu miwili katika mfumo huo.
Muundo wa Kwanza ni upangaji wa viwango katika ngazi ya Shule ambapo Alama Mgando (Fixed Grade Ranges) zifuatazo hutumika kupanga madaraja: A = 81 – 100; B = 61 – 80; C = 41 – 60; D = 21 – 40 na F = 0 – 20. Muundo huu umetumika kwa muda mrefu na umezoeleka kwa walimu na wanafunzi wa elimu ya sekondari kwa ujumla.
Muundo wa Pili ni wa viwango vinavyotumiwa na Baraza la Mitihani la Taifa ambapo ambapo kabla ya mwaka 2012 muundo wa viwango nyumbufu (flexible grade ranges) ulitumika. Katika muundo huu uwigo wa alama ulibadilika badilika kulingana na hali ya matokeo ilivyokuwa kwa mwaka husika. Lakini kuanzia mwaka 2012, Serikali iliamua kutumia mfumo wa Upangaji wa Alama Mgando (Fixed Grade Range) kwa Kidato cha Nne na Kidato cha Sita. Katika mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2012 Baraza lilitumia mfumo huu wa alama mgando ambapo: A = 80 – 100, B = 65 – 79, C = 50 – 64, D = 35 – 49, F = 0 – 34. Kwa upande wa Kidato cha Sita Baraza lilitumia mfumo wa A = 80 – 100; B = 75 - 79; C = 65 – 74; D = 55 – 64; E = 45 – 54; S = 40 – 44 na F = 0 – 39. Mifumo hii ya Baraza haikuwa inafahamika kwa wadau na hivyo kuwa sehemu ya malalamiko katika sekta ya elimu na mafunzo.
Vilevile, Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 1995 imeelekeza kwamba katika kuamua kiwango cha ufaulu wa mwanafunzi wa elimu ya sekondari, Alama za CA zitachangia asilimia hamsini (50%) na Mtihani wa mwisho utachangia asilimia hamsini (50%). Kwa upande wa Zanzibar, CA zimekuwa zikiandaliwa kwa mfumo wa asilimia arobaini (40%) na mtihani wa mwisho asilimia sitini (60%). Pamoja na kwamba Baraza halijawahi kuutumia mifumo hii tangu ilipowekwa, kumekuwa na mitazamo, maoni na mapendekezo tofauti katika muundo na matumizi ya alama za CA. Kuna mawazo pia kwamba mfumo wa CA kuchangia matokeo ya mwisho ya mwanafunzi pia utumike kwa watahiniwa wa kujitegemea (private candidates). Kwa sasa matokeo ya mitihani ya watahiniwa hawa yamekuwa yakitumia alama za mtihani wa mwisho tu na hivyo kutafsiriwa kama utaratibu ambao unamwonea mwanafunzi ambaye anahamu ya kujiendeleza kielimu lakini anakwama kwa sababu mfumo unaotumika siyo rafiki kwa mtahiniwa.
Kwa mantiki hii, Wizara imedhamiria kufanya harmonization ya masuala ya alama katika mitihani ya Kidato cha Nne na Kidato cha Sita ili kupata muundo mmoja na ulio wazi kwa wadau wote wa elimu ya sekondari. Lakini pia serikali imedhamiria kuhakikisha tathmini za wanafunzi katika ngazi mbalimbali zinakwenda sambamba na matarajio ya mitaala inayotumika na ambayo inahuishwa mara kwa mara ili iendane na wakati na mahitaji ya elimu katika ngazi mbalimbali.
VIWANGO NA UTARATIBU KUANZIA MWAKA 2013 KWA KIDATO CHA NNE NA MWAKA
2014 KIDATO CHA SITA
Baada ya kufanya tathmini ya maoni mbalimbali ya wadau, misingi ifuatayo ilizingatiwa katika maamuzi kuhusu makundi ya alama na muachano wake:
a)      Alama zitakazotumika zitakuwa A, B, C, D, E na F. Muachano wa alama kati ya kundi moja hadi jingine utafanana, isipokuwa tu pale ambapo itaonekana kuna sababu na hakuna athari za kuwa na muachano tofauti na ule ambao umetumika katika makundi mengine.
b)      Makundi ya alama hayatakuwa na clusters isipokuwa pale ambapo itaonekana kufanya hivyo kunaleta tija katika kupata picha ya wahitimu kwa ajili ya matumizi mbalimbali. Kwa mantiki hii
(i)         makundi ya alama A, C, D, E na F yabaki na cluster moja moja bali kundi la alama B litakuwa na clusters mbili. Kundi la kwanza litakuwa la wale ambao wamepata alama kati ya 50 mpaka 59 na litaitwa B na lingine litakuwa la wale ambao wamevuka uwigo wa 50 hadi 59 na kuelekea uwigo wa 60 hadi 74 na hili litaitwa B+ (angalia jedwali hapo chini).
(ii)        Pamoja na kuwa na muachano wa alama 26 kama jedwali linavyoonesha hapo chini, alama A kwa miaka mingi imekuwa ikianzia alama 75 hadi 100 na kwamba pamoja na uwigo huo bado wanaofaulu kwa kiwango hicho ni wachache sana. Kwa mantiki hii, hakuna haja ya kubadilisha uwigo ila juhudi ziendelee katika ufundishaji na ujifunzaji ili kiwango cha ufaulu kiongezeke na kupata wanafunzi wengi zaidi wanaofaulu katika kundi hili.
(iii)       Pia, pamoja na kuwa na muachano wa alama 20 kama jedwali linavyoonesha hapo chini kwa miaka mingi, huko shuleni mwanafunzi aliyepata alama 21 na hadi 30 alihesabiwa kuwa na ufaulu wa chini kabisa au hafifu kwa kiwango cha alama na ingawa ilikubalika ufaulu wa aina hiyo kwa mazingira ya nchi yetu unaridhisha. Alama F ilikuwa ni kwa wale waliopata chini ya hapo. Hivyo, alama F itaendelea kuwepo na itaanzia alama 0 hadi 19 na E itaanzia alama 20 hadi 29 na D – 30 -39. Lengo la muundo huu ni kuwa alama mbalimbali, isipokuwa kwa makundi machache, zianzie kwenye 0 yaani 0, 10, 20, 30, 40 na kuendelea badala ya kuanzia kwenye moja yaani 1, 11, 21, 31, 41 na kuendelea. Hii ni kwa ajili ya kuleta mtizamo unaofanana katika ngazi mbalimbali za elimu ambapo kwa sasa ngazi ambazo siyo za elimu msingi na sekondari zinatumia muundo wa kuanzia kwenye 0 badala ya 1. 
c)      Uwigo wa jumla wa alama kwa Kidato cha Nne na Kidato cha Sita utaendelea kuwa wa alama 0 hadi 100 na kila kundi katika uwigo huu limepewa tafsiri kwa ajili ya kuamua mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya mwanafunzi kulingana na malengo ya mtihani husika. Kimsingi, tafsiri zifuatazo zitakatumika
(i)     Alama A itakuwa na maana ya ufaulu uliojipambanua (distincion or outstanding performance),
(ii)        Alama B+ itakuwa na maana ya ufaulu bora sana (excellent performance),
(iii)       Alama B itakuwa na maana ya ufaulu mzuri sana ( very good perfomance),
(iv)       Alama C itakuwa na maana ya ufaulu mzuri (good performance);
(v)        Alama D itakuwa na maana ya ufaulu wa wastani (low performance),
(vi)       Alama E itakuwa na maana ya ufaulu hafifu (very low performance), na
(vii)      Alama F itakuwa na maana ya ufaulu usioridhisha (unsatisfactory performance). 
Wataalamu katika maeneo mbalimbali ya elimu na ulimwengu wa kazi, kwa kushirikiana na Wizara, watatoa maana ya tafsiri hizi kiutendaji katika maeneo yao kulingana pia na mahitaji yao.
d)      Alama C iwe ndiyo alama ya ufaulu mzuri ambao hauhitaji urekebu wa lazima, wakati alamaD na E ni alama za ufaulu unaohitaji urekebu kadri mwanafunzi atakavyokuwa anaendelea na masomo ili kuthibitisha kama mlengwa anaweza na kulingana na mahitaji ya eneo husika (targeted remediation). Alama F iwe alama ya eneo linalohitaji urekebu wa hali ya juu (intesive remediation) ili mwanafunzi huyo aweze kumudu masomo kadri anavyoendelea kukua kielimu ama atakapoingia katika ulimwengu wa kazi.
e)      Makundi ya alama yatajumuisha CA kwa kiwango cha asilimia isiyozidi 40 na mtihani wa mwisho kwa asilimia isiyozidi 60 kwa makundi yote ya watahiniwa ikiwemo wale wa kujitegemea (private candidates). Hii ni kwa kuzingatia kwamba CA siyo vizuri izidi uwigo wa alama ya ufaulu mzuri unapoanzia ambayo ni C au 40.
f)       CA kwa upande wa Kidato cha Nne zitokane na mtihani wa Kidato cha Pili (alama 15), matokeo ya Kidato  cha Tatu (alama 5 kwa kila muhula, na hivyo jumla ya alama 10), mtihani wa Mock (alama 10) na kazi mradi  au Projects (alama 5). Kwa upande wa Kidato cha Sita, CA iendelee kutokana na muundo unaotumika sasa.
g)      CA zitumike pia kwa watahiniwa wa kujitegemea. Kwa upande wa watahiniwa wa kujitegmea ambao wanarudia Mitihani, CA zao  zitumike zile zilizotumika kutoa matokeo yake ya mitihani ya awali.  Kwa watahiniwa wa kujitegemea waliopitia mfumo wa Qualifying Test (QT), matokeo ya QT yatumike kama CA na mtihani wa mwisho uchangie alama 60.
h)      Kwa vile alama endelevu kwa mwaka 2013 kwa wanafunzi wa Kidato cha Nne tayari zimeshawasilishwa Baraza la Mitihani  Tanzania, alama hizo zichangie asilimia 40 katika mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2013.
i)        Muundo wa wastani wa alama katika ufaulu (Grade Points Average ama GPA) utaandaliwa na kuanza kutumika pale utakapokuwa tayari na wadau wataelimishwa kuhusu muundo huo ili wapate kuufahamu na manufaa yake katika elimu ya sekondari.
j)        Muundo huu mpya wa alama utatumika kwa mzunguko wa miaka minne kabla haujahuishwa tena ili kuupa muda wa kutosha kuona aina ya changamoto zinazojitokeza na jinsi ya kuzishughulikia. Aina hii ya muda itaruhusu vidato vinne vya elimu ya sekondari ya kawaida na nane ya elimu ya sekondari ya juu kupimwa. Hata hivyo, uhusihaji wa masuala ya mitihani unaweza ukafanyika iwapo matokeo ya uhuishaji wa mitaala kwa ujumla utahitaji pia eneo la mitihani liguswe na kuhuishwa pia.
Kwa mantiki hii, viwango vya alama na ufaulu ni kama inavyooneshwa kwenye jedwali la 1 hapa chini:
Jedwali Na 1
MUUNDO WA ALAMA NA UFAULU
ALAMA
UWIGO WA ALAMA
IDADI YA ALAMA
TAFSIRI
A
75 - 100
26
Ufauli Uliojipambanua
B+
60 - 74
15
Ufaulu bora sana
B
50- 59
10
Ufaulu mzuri sana
C
40 - 49
10
Ufaulu mzuri
D
30 - 39
10
Ufaulu Hafifu
E
20 - 29
10
Ufaulu hafifu sana
F
0 - 19
20
Ufaulu usioridhisha
Kwa aina hii ya muundo wa alama, na kwa kuwa muundo wa GPA utaanza kuandaliwa na wadau kuelimishwa kabla haujaanza kutumika, katika kipindi hiki mpaka wakati huo, muundo wa madaraja utakuwa kama inavyooneshwa kwenye jedwali la 2 hapa chini.
Jedwali Na 2
MUUNDO WA MADARAJA
MUUNDO WA ZAMANI
MUUNDO MPYA
MAELEZO
POINTI
DARAJA
POINTI
DARAJA
7-17
1
7-17
I
Kundi la ufaulu uliojipambanua na bora sana
18-21
II
18-24
II
Kundi la ufaulu mzuri sana
22-25
III
25-31
III
Kundi la ufaulu mzuri na wa wastani
26-33
IV
32-47
IV
Kundi ufaulu hafifu
34-35
0
48-49
V
Kundi la ufaulu usioridhisha

Wataalamu wa mifumo ya mitihani watalifanyia kazi zaidi jedwali hili la madaraja ili liweze kutumika kwa ufanisi katika kipindi hiki cha mpito.
Kwa mantiki hii, Daraja Sifuri linafutwa na kuwekwa daraja litakalojulikana kama Daraja la Tano na ambalo litakuwa ndilo la mwisho kabisa katika ufaulu.
HITIMISHO
Mabadiliko haya yamefanyika ili kuendelea kuimarisha mfumo wetu wa elimu na kuweka wazi taratibu mbalimbali kwa ajili ya mitihani na masuala mengine. Yako mambo mengi mengine ambayo hayana budi kuendelea kuimarishwa ikiwemo mfumo wa mitaala, walimu, mazingira ya kujifunzia na kufundishia pamoja na vitabu na vifaa vingine muhimu katika elimu. Masuala haya yanaendelea kuangaliwa kupitia mikakati mbalimbali ikiwemo mpango wa Matokeo Makubwa Sasa ama Big Results Now (BRN). Ushirikiano wa wadau wote ili kuleta tija kwenye elimu ni muhimu sana na hivyo wizara itaendelea kuwashirikisha wadau wote kwa kadri itakavyohitajika na wadau pia wanaombwa wasiache kuishirikisha wizara pale watakapokuwa na jambo lolote ambalo linahitaji ushirikiano ili kwa pamoja tuweze kupata mafanikio katika sekta ya elimu.
Imetolewa,
KATIBU MKUU
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI

Mradi wa shule za kata aisee umefeli hamna ata shule moja kata ambayo ipo kwenye hii orodha ya vinara bora katika matokeo haya. Tutafakari haya kwa kina,
  • Je kubadili madaraja kumesaidia lolote katika kupandisha ubora wa elimu Tanzania?
  • Je kuna mafanikio yoyote katika mradi huo wa shule za kata?
  • Je mwakani matokeo yatabadilika kutokana na Big Results Now (BRN)?
  • Ni kipi kifanyike ili kuinua matokeo ya kidato cha nne?
Hizi ndio shule 10 bora matokeo kidato cha nne 2013:
  1. St.Francis Girls (Mbeya)
  2. Marian Boys (Pwani)
  3. Feza Girls (Dar-es-salaam)
  4. Precious Blood (Arusha)
  5. Canossa (Dar-es-salaam)
  6. Marian Girls (Pwani)
  7. Anwarite Girls (Kilimanjaro)
  8. Abbey (Mtwara)
  9. Rosmini (Tanga)
  10. DonBosco Seminary (Iringa)
Hawa ndio wanafunzi 10 bora matokeo kidato cha nne 2013:
  1. Robina S Nicholaus (Marian Girls - Pwani)
  2. Magreth Kakoko (St. Francis Girls - Mbeya)
  3. Joyceline Leonard Marealle (Canossa - Dar-es-salaam)
  4. Sarafina W. Mariki (Marian Girls - Pwani)
  5. Abby T Sembuche (Marian Girls - Pwani)
  6. Sunday Mrutu (Anne Marie - Dar-es-salaam)
  7. Nelson Rugola Anthony (Kaizirege - Kagera)
  8. Emmanuel Mihuba Gregory (Kaizirege - Kagera)
  9. Janeth Urassa (Marian Girls - Pwani)
  10. Angel Ngulumbi (St. Francis Girls - Mbeya)

SHULE KUMI BORA ZILIZONGOZA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE NECTA RESULTS 2013 (TOP TEN BEST SCHOOLS 2013) NA TOP TEN STUDENTS NECTA RESULTS 2013

Mradi wa shule za kata aisee umefeli hamna ata shule moja kata ambayo ipo kwenye hii orodha ya vinara bora katika matokeo haya. Tutafakari haya kwa kina,
  • Je kubadili madaraja kumesaidia lolote katika kupandisha ubora wa elimu Tanzania?
  • Je kuna mafanikio yoyote katika mradi huo wa shule za kata?
  • Je mwakani matokeo yatabadilika kutokana na Big Results Now (BRN)?
  • Ni kipi kifanyike ili kuinua matokeo ya kidato cha nne?
Hizi ndio shule 10 bora matokeo kidato cha nne 2013:
  1. St.Francis Girls (Mbeya)
  2. Marian Boys (Pwani)
  3. Feza Girls (Dar-es-salaam)
  4. Precious Blood (Arusha)
  5. Canossa (Dar-es-salaam)
  6. Marian Girls (Pwani)
  7. Anwarite Girls (Kilimanjaro)
  8. Abbey (Mtwara)
  9. Rosmini (Tanga)
  10. DonBosco Seminary (Iringa)
Hawa ndio wanafunzi 10 bora matokeo kidato cha nne 2013:
  1. Robina S Nicholaus (Marian Girls - Pwani)
  2. Magreth Kakoko (St. Francis Girls - Mbeya)
  3. Joyceline Leonard Marealle (Canossa - Dar-es-salaam)
  4. Sarafina W. Mariki (Marian Girls - Pwani)
  5. Abby T Sembuche (Marian Girls - Pwani)
  6. Sunday Mrutu (Anne Marie - Dar-es-salaam)
  7. Nelson Rugola Anthony (Kaizirege - Kagera)
  8. Emmanuel Mihuba Gregory (Kaizirege - Kagera)
  9. Janeth Urassa (Marian Girls - Pwani)
  10. Angel Ngulumbi (St. Francis Girls - Mbeya)
Kupata matokeo ya kidato cha nne 2013 BOFYA HAPA
Kupata matokeo ya QT 2013 BOFYA HAPA

                   fMATOKEO CSEE 2013
                     fMATOKEO QT 2013

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2013 (NATIONAL FORM FOUR RESULTS 2013) NA QT 2013

Kupata matokeo ya kidato cha nne 2013 BOFYA HAPA
Kupata matokeo ya QT 2013 BOFYA HAPA

                   fMATOKEO CSEE 2013
                     fMATOKEO QT 2013
1. Usiwe mwepesi wa kutoa lawama na kumhukumu kwa kila jambo ila jaribu kumwelewa na kumfanya akuelewe wewe pia

2. Usijifanye kuwa wewe ni wa muhimu kuliko yeye ila amini yeye ni wa muhimu zaidi jambo litakalo mfundisha nae kukuona wa muhimu

3. Kuwa karibu na matatizo yake hata kama huna uwezo onyesha kuwa wewe ni bega lake litakalo mfuta machozi wakati akilia yaani mpe ushauri wenye utatuzi na ajivunie wewe

4. Usiwe mwepesi wa kuropoka kwa watu mapungufu yake ila jitahiti kuwa mwazi kwake na kumbadilisha ikibidi

5. Jaribu kuwa msiri wa kutunza mambo yanayowahusu na kutoyashirikisha kwa wengine

6. Usiwe mwepesi wa kumkatisha tamaa kwa kila jambo.

7. Epuka kuwa mzigo kwa mwenzako nawe jitume na kuonyesha mwenzio anaweza kukutegemea pia

9. Vumilianeni kwa mambo yanayoweza kuwafanya mwonekane kutofautiana na jaribuni kuyamaliza mambo yenu wenyewe.

10. Furahia mafanikio ya mwenzako toka moyoni na chukua kama changamoto za kujifunza nawe ufanye vyema kuliko kuanza kujenga uadui au kumsema vibaya.

11. Jitahidi kuzuia hasira zako zikufanye utoe maamuzi utakayoyajutia baadae.Fanya maamuzi kwa busara katika kila jambo.

12. Jenga tabia ya kuwasiliana na rafiki yako mara kwa mara kama yuko mbali na hata kama mnakaa pamoja

13. Marafiki wema pia huletwa kwa neema ya Mungu hivyo mwombe Mungu marafiki na kumshukuru kwa kuwapata na mwombe akupe hekima na uvumilivu wa kuishi nao

Kitu cha muhimu zaidi ni kwamba kuwa na rafiki mpya kila siku ni rahisi sana. Ila ugumu ni kuweza kubaki na marafiki hao milele.

Hivyo ni vyema kujenga tabia ya kuheshimu uhusiano wa kirafiki na kuilinda.

MAMBO YA MUHIMU KUZINGATIA UNAPOKUWA NA RAFIKI KATIKA MAISHA YAKO.

1. Usiwe mwepesi wa kutoa lawama na kumhukumu kwa kila jambo ila jaribu kumwelewa na kumfanya akuelewe wewe pia

2. Usijifanye kuwa wewe ni wa muhimu kuliko yeye ila amini yeye ni wa muhimu zaidi jambo litakalo mfundisha nae kukuona wa muhimu

3. Kuwa karibu na matatizo yake hata kama huna uwezo onyesha kuwa wewe ni bega lake litakalo mfuta machozi wakati akilia yaani mpe ushauri wenye utatuzi na ajivunie wewe

4. Usiwe mwepesi wa kuropoka kwa watu mapungufu yake ila jitahiti kuwa mwazi kwake na kumbadilisha ikibidi

5. Jaribu kuwa msiri wa kutunza mambo yanayowahusu na kutoyashirikisha kwa wengine

6. Usiwe mwepesi wa kumkatisha tamaa kwa kila jambo.

7. Epuka kuwa mzigo kwa mwenzako nawe jitume na kuonyesha mwenzio anaweza kukutegemea pia

9. Vumilianeni kwa mambo yanayoweza kuwafanya mwonekane kutofautiana na jaribuni kuyamaliza mambo yenu wenyewe.

10. Furahia mafanikio ya mwenzako toka moyoni na chukua kama changamoto za kujifunza nawe ufanye vyema kuliko kuanza kujenga uadui au kumsema vibaya.

11. Jitahidi kuzuia hasira zako zikufanye utoe maamuzi utakayoyajutia baadae.Fanya maamuzi kwa busara katika kila jambo.

12. Jenga tabia ya kuwasiliana na rafiki yako mara kwa mara kama yuko mbali na hata kama mnakaa pamoja

13. Marafiki wema pia huletwa kwa neema ya Mungu hivyo mwombe Mungu marafiki na kumshukuru kwa kuwapata na mwombe akupe hekima na uvumilivu wa kuishi nao

Kitu cha muhimu zaidi ni kwamba kuwa na rafiki mpya kila siku ni rahisi sana. Ila ugumu ni kuweza kubaki na marafiki hao milele.

Hivyo ni vyema kujenga tabia ya kuheshimu uhusiano wa kirafiki na kuilinda.
Will Smith
The death hoaxes on social networking sites have killed another Hollywood celebrity. After Jim Carrey, it is Will Smith who has become the latest victim of the celebrity death hoax trend on the internet.
The news of the actor's death originated from Global Associated News, known for spreading false news of celebrities' deaths.
According to their report, the 45-year-old Smith died on 19 January while filming a movie in New Zealand.
"Actor Will Smith died while filming a movie in New Zealand early this morning - January 19, 2014. Preliminary reports from New Zealand Police officials indicate that the actor fell more than 60 feet to his death on the Kauri Cliffs while on-set. Specific details are not yet available.
Several Smith fans, who believed the news, posted condolence messages on Facebook and Twitter.
However, the actor is reportedly doing well and is busy working on his forthcoming film. Smith will also make an appearance on "The Tonight Show Starring Jimmy Fallon" which will be aired next month on NBC.
Apparently, a similar death hoax on Smith had spread in 2011. In fact, except for the date, every other details in the death news were similar to the new one.
"Actor Will Smith died while filming a movie in New Zealand early this morning - November 28, 2011. Preliminary reports from New Zealand Police officials indicate that the actor fell more than 60 feet to his death on the Kauri Cliffs while on-set. Specific details are not yet available," reported in 2011, according to Examiner.

Will Smith Death Hoax: Actor Reportedly Fell from 60 Feet While Filming in New Zealand

Will Smith
The death hoaxes on social networking sites have killed another Hollywood celebrity. After Jim Carrey, it is Will Smith who has become the latest victim of the celebrity death hoax trend on the internet.
The news of the actor's death originated from Global Associated News, known for spreading false news of celebrities' deaths.
According to their report, the 45-year-old Smith died on 19 January while filming a movie in New Zealand.
"Actor Will Smith died while filming a movie in New Zealand early this morning - January 19, 2014. Preliminary reports from New Zealand Police officials indicate that the actor fell more than 60 feet to his death on the Kauri Cliffs while on-set. Specific details are not yet available.
Several Smith fans, who believed the news, posted condolence messages on Facebook and Twitter.
However, the actor is reportedly doing well and is busy working on his forthcoming film. Smith will also make an appearance on "The Tonight Show Starring Jimmy Fallon" which will be aired next month on NBC.
Apparently, a similar death hoax on Smith had spread in 2011. In fact, except for the date, every other details in the death news were similar to the new one.
"Actor Will Smith died while filming a movie in New Zealand early this morning - November 28, 2011. Preliminary reports from New Zealand Police officials indicate that the actor fell more than 60 feet to his death on the Kauri Cliffs while on-set. Specific details are not yet available," reported in 2011, according to Examiner.

Like, share and send to friends

Jiunge nasi