What's New Here?



Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Mafunzo ya Ualimu mwaka wa masomo 2013/2014 wanatakiwa kuripoti katika Vyuo walivyopangiwa tarehe 15/08/2013.

Fomu ya maelekezo (joining instruction) itatumwa kwa mhusika kupitia anuani yake. Aidha, fomu hizi zinapatikana pia kwenye tovuti hii  kwa kubofya katika link ya Chuo husika. 
Wanafunzi wanatakiwa kufika Vyuoni wakiwa na mahitaji yafuatayo: 
  1. Vyeti halisi vya Baraza la Mitihani la Tanzania kidato cha NNE na SITA kulingana na kozi husika; 
  2. Ada ya muhula wa kwanza sh.100,000/= au ya mwaka sh. 200,000/=; 
  3. Sare ya Chuo kulingana na maelekezo ya Chuo husika; na 
  4. Fedha za tahadhari chuoni na matumizi binafsi.

Mkuu wa Chuo anatakiwa kuhakikisha wanafunzi wanaosajiliwa Chuoni ni wale waliopo kwenye orodha hii tu na SI vinginevyo.

Usajili wa waliochaguliwa kujiunga na Vyuo utafungwa tarehe 25/08/2013 saa 12.00 jioni.

Kuona majina hayo bofya hapo chini sehemu husika

WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI NA STASHAHADA MWAKA 2013/2014



Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Mafunzo ya Ualimu mwaka wa masomo 2013/2014 wanatakiwa kuripoti katika Vyuo walivyopangiwa tarehe 15/08/2013.

Fomu ya maelekezo (joining instruction) itatumwa kwa mhusika kupitia anuani yake. Aidha, fomu hizi zinapatikana pia kwenye tovuti hii  kwa kubofya katika link ya Chuo husika. 
Wanafunzi wanatakiwa kufika Vyuoni wakiwa na mahitaji yafuatayo: 
  1. Vyeti halisi vya Baraza la Mitihani la Tanzania kidato cha NNE na SITA kulingana na kozi husika; 
  2. Ada ya muhula wa kwanza sh.100,000/= au ya mwaka sh. 200,000/=; 
  3. Sare ya Chuo kulingana na maelekezo ya Chuo husika; na 
  4. Fedha za tahadhari chuoni na matumizi binafsi.

Mkuu wa Chuo anatakiwa kuhakikisha wanafunzi wanaosajiliwa Chuoni ni wale waliopo kwenye orodha hii tu na SI vinginevyo.

Usajili wa waliochaguliwa kujiunga na Vyuo utafungwa tarehe 25/08/2013 saa 12.00 jioni.

Kuona majina hayo bofya hapo chini sehemu husika

The  following candidates  have  been  selected to join LGTI  for the academic  year  2013/2014 which  starts on  Saturday,  the  24th  of  August  2013.  Joining  instructions  will  be  posted  to  individual  candidates through  their  contact  addresses  indicated  in  application  forms.  The  candidates  are  requested  to  confirm
immediately their  interest of  joining through phone no. 
0754 415659 before 9th August 2013, otherwise their chances will be given to candidates placed in reserve lists.
To see the selected candidates click the link below

ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA CHUO CHA SERIKALI ZA MITAA LGTI-DODOMA (CANDIDATES SELECTED FOR ADMISSION TO THE LOCAL GOVERNEMENT TRAINING INSTITUTE FOR ACADEMIC YEAR 2013/2014)


The  following candidates  have  been  selected to join LGTI  for the academic  year  2013/2014 which  starts on  Saturday,  the  24th  of  August  2013.  Joining  instructions  will  be  posted  to  individual  candidates through  their  contact  addresses  indicated  in  application  forms.  The  candidates  are  requested  to  confirm
immediately their  interest of  joining through phone no. 
0754 415659 before 9th August 2013, otherwise their chances will be given to candidates placed in reserve lists.
To see the selected candidates click the link below
1. Mandela’s tribal nickname is “Rolihlahla,” meaning “Troublemaker.”
Other accounts translate Rolihlalhla to mean “to pull a branch from a tree,” which, of course, is something only a troublemaker would do. It was his teacher, Miss Mdingane, who gave him the English name “Nelson,” much to the relief of journalists everywhere when he became famous.
- See more at: http://afkinsider.com/1772/10-things-you-probably-didnt-know-about-nelson-mandela/2/#sthash.iRRTnKAc.dpuf

GET WELL SOON NELSON MANDELA, THE AFRICAN LEGEND

1. Mandela’s tribal nickname is “Rolihlahla,” meaning “Troublemaker.”
Other accounts translate Rolihlalhla to mean “to pull a branch from a tree,” which, of course, is something only a troublemaker would do. It was his teacher, Miss Mdingane, who gave him the English name “Nelson,” much to the relief of journalists everywhere when he became famous.
- See more at: http://afkinsider.com/1772/10-things-you-probably-didnt-know-about-nelson-mandela/2/#sthash.iRRTnKAc.dpuf
TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY (TIA)
The Tanzania Institute of Accountancy (TIA) is a training Government Executive Agency operating ‘semi’ autonomously and commercially in providing education in Accountancy, Procurement & Logistics Management, Marketing and Public Relations, Human Resources Management and other business related disciplines.
2.1 ASSISTANT LECTURERS 20 POSTS
· Research Methodology - 1 post
· Business Mathematics & Statistics - 3 posts
· Marketing - 3 posts
· Management Accounting - 1 post
· Procurement & Logistics Management- 5 posts
· Communication Skills- 2 post
· ICT- 2 Posts
· Business Law - 3 posts
2.1.1 DUTIES AND RESPONSIBILITIES
· Teaches up to NTA level 8 (Bachelors Degree)
· Prepares learning resources for tutorial exercises
· Conducts research, seminars and case studies
· Supervising students project;
· Preparing teaching manuals;
· Carries out consultancy and community services under supervision;
Perform any other duties as assigned by supervisor 5
2.1.2 QUALIFICATION AND EXPERIENCE
· Masters Degree with upper second class and above in the first degree in the relevant field.
2.1.3 REMUNERATION:
Attractive remuneration package in accordance with the Institution’s salary scale. PHTS 13 – 14
NB: GENERAL CONDITIONS
i. All applicants must be Citizens of Tanzania and not above 45 years old, however, should also observe the age limit for each position where indicated.
ii. Applicants must attach an up-to-date current Curriculum Vitae (CV) having reliable contact postal address, e-mail address and telephone numbers.
iii. Applicants should apply on the strength of the information given in this advertisement.
iv. The title of the position and institution applied for should be written in the subject of the application letter and marked on the envelope; short of which will make the application invalid.
v. Applicants must attach their detailed relevant certified copies of Academic certificates:
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates.
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma transcripts.
- Form IV and Form VI National Examination Certificates.
- Computer Certificate
- Professional certificates from respective boards
- One recent passport size picture and birth certificate.
vi. FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS ARE STRICTLY NOT ACCEPTED
vii. Testimonials, Partial transcripts and results slips will not be accepted.
viii. Presentation of forged academic certificates and other information in the CV will necessitate to legal action
ix. Applicants for senior positions currently employed in the public service should route their application letters through their respective employers.
x. Applicants for entry levels currently employed in the Public Service should not apply, they have to adhere to Government Circular Na. CAC. 45/257/01/D/140 dated 30th November, 2010.
xi. Applicants who have/were retired from the Public Service for whatever reason should not apply.
xii. Applicants should indicate three reputable referees with their reliable contacts.
xiii. Certificates from foreign examination bodies for ordinary or advanced level education should be certified by The National Examination Council of Tanzania (NECTA)
xiv. Certificates from foreign Universities should be verified by The Tanzania Commission for Universities (TCU)
xv. Dead line for application is 25th July, 2013 at 3:30 p.m
xvi. Applicants with special needs/case (disability) are supposed to indicate
xvii. Women are highly encouraged to apply
xviii. Only short listed candidates will be informed on a date for interview
xix. Application letters should be written in Swahili or English
xx. APPLICATION LETTERS SHOULD BE POSTED TO THE FOLLOWING ADDRESS. HAND DELIVERY IS NOT ACCEPTABLE:
Secretary OR Katibu
Public Service Recruitment Sekretarieti ya Ajira katika Secretariat, Utumishi wa Umma
P. O. Box 63100 S. L. P 63100,
DAR ES SALAAM. DAR ES SALAAM.
Deadline : 25th July, 2013     

ASSISTANT LECTURERS 20 POSTS

TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY (TIA)
The Tanzania Institute of Accountancy (TIA) is a training Government Executive Agency operating ‘semi’ autonomously and commercially in providing education in Accountancy, Procurement & Logistics Management, Marketing and Public Relations, Human Resources Management and other business related disciplines.
2.1 ASSISTANT LECTURERS 20 POSTS
· Research Methodology - 1 post
· Business Mathematics & Statistics - 3 posts
· Marketing - 3 posts
· Management Accounting - 1 post
· Procurement & Logistics Management- 5 posts
· Communication Skills- 2 post
· ICT- 2 Posts
· Business Law - 3 posts
2.1.1 DUTIES AND RESPONSIBILITIES
· Teaches up to NTA level 8 (Bachelors Degree)
· Prepares learning resources for tutorial exercises
· Conducts research, seminars and case studies
· Supervising students project;
· Preparing teaching manuals;
· Carries out consultancy and community services under supervision;
Perform any other duties as assigned by supervisor 5
2.1.2 QUALIFICATION AND EXPERIENCE
· Masters Degree with upper second class and above in the first degree in the relevant field.
2.1.3 REMUNERATION:
Attractive remuneration package in accordance with the Institution’s salary scale. PHTS 13 – 14
NB: GENERAL CONDITIONS
i. All applicants must be Citizens of Tanzania and not above 45 years old, however, should also observe the age limit for each position where indicated.
ii. Applicants must attach an up-to-date current Curriculum Vitae (CV) having reliable contact postal address, e-mail address and telephone numbers.
iii. Applicants should apply on the strength of the information given in this advertisement.
iv. The title of the position and institution applied for should be written in the subject of the application letter and marked on the envelope; short of which will make the application invalid.
v. Applicants must attach their detailed relevant certified copies of Academic certificates:
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates.
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma transcripts.
- Form IV and Form VI National Examination Certificates.
- Computer Certificate
- Professional certificates from respective boards
- One recent passport size picture and birth certificate.
vi. FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS ARE STRICTLY NOT ACCEPTED
vii. Testimonials, Partial transcripts and results slips will not be accepted.
viii. Presentation of forged academic certificates and other information in the CV will necessitate to legal action
ix. Applicants for senior positions currently employed in the public service should route their application letters through their respective employers.
x. Applicants for entry levels currently employed in the Public Service should not apply, they have to adhere to Government Circular Na. CAC. 45/257/01/D/140 dated 30th November, 2010.
xi. Applicants who have/were retired from the Public Service for whatever reason should not apply.
xii. Applicants should indicate three reputable referees with their reliable contacts.
xiii. Certificates from foreign examination bodies for ordinary or advanced level education should be certified by The National Examination Council of Tanzania (NECTA)
xiv. Certificates from foreign Universities should be verified by The Tanzania Commission for Universities (TCU)
xv. Dead line for application is 25th July, 2013 at 3:30 p.m
xvi. Applicants with special needs/case (disability) are supposed to indicate
xvii. Women are highly encouraged to apply
xviii. Only short listed candidates will be informed on a date for interview
xix. Application letters should be written in Swahili or English
xx. APPLICATION LETTERS SHOULD BE POSTED TO THE FOLLOWING ADDRESS. HAND DELIVERY IS NOT ACCEPTABLE:
Secretary OR Katibu
Public Service Recruitment Sekretarieti ya Ajira katika Secretariat, Utumishi wa Umma
P. O. Box 63100 S. L. P 63100,
DAR ES SALAAM. DAR ES SALAAM.
Deadline : 25th July, 2013     
Katika Tamasha la Matumaini litakalofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam siku ya leo tarehe 07/07/2013 kutakuwa na mtanange wa kukata na shoka wa mpira wa miguu kati ya wabunge mashabiki wa Simba na wale wa Yanga, huku Prezdaa akiwa kati akiuendesha mchezo huo.Pia litahushisha masumbwi na wasanii mbalimbali wa Tanzania wa Gospel na Bongofleva huku kukiwa na burudani ya kila aina kutoka ndani na nje ya Tanzania.
USIKOSE KUHUDHURIA UWANJA WA TAIFA UPATE BURUDANI YA AINA YAKE

RAISI JAKAYA KIKWETE KUCHEZESHA MECHI YA YANGA NA SIMBA WABUNGE LEO KATIKA TAMASHA LA MATUMAINI

Katika Tamasha la Matumaini litakalofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam siku ya leo tarehe 07/07/2013 kutakuwa na mtanange wa kukata na shoka wa mpira wa miguu kati ya wabunge mashabiki wa Simba na wale wa Yanga, huku Prezdaa akiwa kati akiuendesha mchezo huo.Pia litahushisha masumbwi na wasanii mbalimbali wa Tanzania wa Gospel na Bongofleva huku kukiwa na burudani ya kila aina kutoka ndani na nje ya Tanzania.
USIKOSE KUHUDHURIA UWANJA WA TAIFA UPATE BURUDANI YA AINA YAKE

Like, share and send to friends

Jiunge nasi